Mataifa 30 wahudhuria mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza katika mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hoteli ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi tuzo ya ushirikiano mzuri na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD) Mavere Tukai wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo leo katika Hoteli ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka nchini Marekani Mazen Albaghdadi akitoa mada juu ya magonjwa ya moyo wakati wa mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hotel ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.
Madaktari kutoka Serikali ya Watu wa China wanaofanya kazi Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia wakati wa Mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hotel ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo wakifuatilia wakati wa Mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hotel ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.

Rais wa Chama cha madaktari wa moyo Tanzania Dkt. Robert Mvungi akitoa mada inayohusu magonjwa ya moyo wakati wa Mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hotel ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimwelezea huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa Mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hotel ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akimsikiliza mwakilishi kutoka kampuni ya kusambaza dawa za binadamu ya Raj Distributor alipotembelea katika banda la kampuni hiyo wakati wa Mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika kwa siku mbili katika Hotel ya Golden Tulip iliyopo mjini Zanzibar.

********************************************************************************************************


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)