Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan azindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO - 19 Ikulu jijini Dar es Salaam

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya  UVIKO - 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akionesha cheti cha uthibitisho wa chanjo muda mfupi baada ya kuzindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya  UVIKO - 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam .

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akipata chanjo ya kuzuia maambukizi ya  UVIKO - 19 katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam .

Picha na Ikulu



Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa