Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan azindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO - 19 Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO - 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar
es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akionesha cheti cha uthibitisho wa chanjo muda mfupi baada ya kuzindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO - 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akipata chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO - 19 katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam .
Picha na Ikulu
Comments
Post a Comment