Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan azindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO - 19 Ikulu jijini Dar es Salaam

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya  UVIKO - 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akionesha cheti cha uthibitisho wa chanjo muda mfupi baada ya kuzindua chanjo ya kuzuia maambukizi ya  UVIKO - 19 katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es salaam .

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akipata chanjo ya kuzuia maambukizi ya  UVIKO - 19 katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam .

Picha na Ikulu



Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari