Wafanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2020/21 wapongezwa
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane
akimkabidhi zawadi ya ngao mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha
2020/2021 aliyeshika nafasi ya kwanza Mary Haule wakati wa hafla fupi ya
kuwapongeza wafanyakazi bora watatu iliyofanyika leo katika Taasisi hiyo.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane
akimkabidhi cheti mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2020/2021
aliyeshika nafasi ya pili Fredy Tupa wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza
wafanyakazi bora watatu iliyofanyika leo katika Taasisi hiyo leo Jijini Dar es
Salaam.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane
akimkabidhi cheti mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka
wa fedha 2020/2021 aliyeshika nafasi ya tatu Ashura Ally wakati wa hafla fupi
ya kuwapongeza wafanyakazi bora watatu iliyofanyika leo katika Taasisi hiyo leo
Jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi
bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2020/2021 aliyeshika nafasi ya kwanza
Mary Haule akiwashukuru wafanyakazi wenzake kwa kuendelea kushirikiana katika
majukumu ya kazi wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora watatu
iliyofanyika katika Taasisi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment