Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na vyuo vikuu vya Sharda na MM vya nchini India, Summy State na A.N Calasin vya nchini Ukraine katika tiba ya magonjwa ya moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na viongozi wa vyuo vikuu vya Sharda na MM vya nchini India, Summy State na A.N Calasin vya nchini Ukraine ambao walitembelea Taasisi hiyo kwa ajili ya kuona ni jinsi gani wataimarisha mahusiano katika tiba ya magonjwa ya moyo, utalii wa matibabu na kuwapeleka wanafunzi watanzania wanaosoma katika vyuo hivyo kwenda kusoma sehemu ya masomo yao JKCI.
Kikao baina ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI), vyuo vikuu vya Sharda na MM vya nchini India, Summy State na A.N
Calasin vya nchini Ukraine na kampuni ya utalii tiba ya
GEL cha kujadili namna
ya kuimarisha mahusiano baina yao katika
tiba ya magonjwa ya moyo, utalii tiba na kuwapeleka wanafunzi watanzania
wanaosoma katika vyuo hivyo kwenda kusoma sehemu ya masomo yao JKCI kikiendelea.
Kikao baina ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI), vyuo vikuu vya Sharda na MM vya nchini India, Summy State na A.N
Calasin vya nchini Ukraine na kampuni ya utalii tiba ya
GEL cha kujadili namna
ya kuimarisha mahusiano baina yao katika
tiba ya magonjwa ya moyo, utalii tiba na kuwapeleka wanafunzi watanzania
wanaosoma katika vyuo hivyo kwenda kusoma sehemu ya masomo yao JKCI kikiendelea.
Kikao baina ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI), vyuo vikuu vya Sharda na MM vya nchini India, Summy State na A.N
Calasin vya nchini Ukraine na kampuni ya utalii tiba ya
GEL cha kujadili namna
ya kuimarisha mahusiano baina yao katika
tiba ya magonjwa ya moyo, utalii tiba na kuwapeleka wanafunzi watanzania
wanaosoma katika vyuo hivyo kwenda kusoma sehemu ya masomo yao JKCI kikiendelea.
Comments
Post a Comment