Viongozi wa Serikali, wananchi pamoja na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wachoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19
Afisa Uuguzi wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joshua Ogutu akiandaa sindano yenye chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 kwa ajili ya
kumchoma mwananchi aliyefika katika Taasisi hiyo kwa ajili ya kuchoma chanjo
hiyo.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Gudila Swai akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizia ya UVIKO – 19 Balozi mstaafu Modest Mero aliyefika katika Taasisi hiyo kwa ajili ya kuchanjwa chanjo.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rydness
Mlashani akimkabidhi cheti cha uthibitisho
wa chanjo balozi mstaafu mara baada ya kuchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya
UVIKO – 19 inayotolewa katika Taasisi
hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joshua Ogutu akimchoma mkazi wa jijini Dar es Salaam chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO -19.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Oliver Marandu akimwelezea mwananchi umuhimu wa chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO -19 aliyoichoma katika Taasisi hiyo.
Comments
Post a Comment