Viongozi na watu maarufu wachanja chanjo ya UVIKO - 19 wakati wa mbio za CRDB Marathon

 

Afisa kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Haulle akimsajiri mwananchi aliyetembelea banda la JKCI kwa ajili ya kuchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI


Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Oliver Marandu akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 Mtanzania aliyewahi kushiriki shindano la Big Brother Afrika 2003 Mwisho Mwampamba baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Oliver Marandu akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 mhanga wa kwanza wa kurona nchini Tanzania Isabella Mwampamba baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joshua Ogutu akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 Naibu Waziri wa Maji Mhe. Maryprisca Mahundi alipotembelea banda la JKCI kwa ajili ya kupata chanjo hiyo  baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimpa elimu ya chanjo ya UVIKO - 19 mhanga wa kwanza wa kurona nchini Tanzania Isabella Mwampamba kabla ya kuchoma chanjo hiyo baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Gudilla Swai akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 mwananchi aliyetembelea banda la JKCI baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI

Picha na: JKCI

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari