Viongozi na watu maarufu wachanja chanjo ya UVIKO - 19 wakati wa mbio za CRDB Marathon
Afisa
kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Haulle akimsajiri mwananchi
aliyetembelea banda la JKCI kwa ajili ya kuchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya
UVIKO – 19 baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika
viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia
matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Oliver Marandu akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 Mtanzania
aliyewahi kushiriki shindano la Big Brother Afrika 2003 Mwisho Mwampamba baada
ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya
Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya
watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Oliver Marandu akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 mhanga
wa kwanza wa kurona nchini Tanzania Isabella Mwampamba baada ya kumalizika kwa
mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo
Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa
ya moyo wanaotibiwa JKCI
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Joshua Ogutu akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19 Naibu
Waziri wa Maji Mhe. Maryprisca Mahundi alipotembelea banda la JKCI kwa ajili ya
kupata chanjo hiyo baada ya kumalizika
kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay
leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto 100 wenye
magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimpa elimu ya chanjo ya UVIKO - 19 mhanga
wa kwanza wa kurona nchini Tanzania Isabella Mwampamba kabla ya kuchoma chanjo
hiyo baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB Marathoni zilizofanyika katika
viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuchangia
matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Gudilla Swai akimchoma chanjo ya kuzuia maambukizi ya UVIKO – 19
mwananchi aliyetembelea banda la JKCI baada ya kumalizika kwa mbio za CRDB
Marathoni zilizofanyika katika viwanjwa vya Farasi Oystebay leo Jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kuchangia matibabu ya watoto 100 wenye magonjwa ya moyo
wanaotibiwa JKCI
Picha na: JKCI
Comments
Post a Comment