Wafanyakazi bora wa robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2021/2022 wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wapongezwa kwa utendaji mzuri wa kazi
Mfanyakazi bora wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Afisa Muuguzi Joshua Ogutu akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Delilah Kimambo
wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa
Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi bora wa robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2021/2022
aliyeshika nafasi ya kwanza Afisa Msaidi wa Afya Dominick Kanani katika picha
ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Dkt. Delilah Kimambo na Mkurugenzi wa Idara ya Upasuaji Dkt. Angela Muhozya
wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa
Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam
Mfanyakazi bora wa robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2021/2022
aliyeshika nafasi ya pili Mtunza Kumbukumbu (Afya) Vedastus Lazaro akipokea
cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya
Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza
wafanyakazi bora leo katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment