Madaktari na Wafamasia wahimizwa kujisajili katika Chama cha Madaktari cha Taifa

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wafanyakazi Madaktari na Wafamasia Tanzania Dkt. Samweli Rweyemamu akizungumza na madaktari wa Tawi la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kikao cha kuhamasisha usajili wa wanachama kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini  Dar es Salaam.


Baadhi ya madaktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wafanyakazi Madaktari na Wafamasia Tanzania wakati wa kikao cha kuhamasisha usajili wa wanachama wa chama hicho kilichofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.


Mwenyekiti wa chama cha Madaktari na Wafamasia Tawi la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.Godwin Sharau akizungumza na madaktari wa Tawi hilo wakati wa kikao cha kuhamasisha usajili wa wanachama kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na: Genofeva Matemu

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo