Wizara ya Afya yakagua utoaji huduma JKCI



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni mkurugenzi wa kurugenzi ya Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delila Kimambo akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa huduma za matibabu kutoka wizara ya Afya na wafanyakazi wa Taasisi hiyo mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ukaguzi wa kuangalia namna ambavyo hospitali za Serikali zinavyotoa huduma za matibabu lililofanywa na wataalamu kutoka wizara hiyo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni mkurugenzi wa kurugenzi ya Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delila Kimambo akizungumza na  mratibu wa huduma za matibabu kutoka wizara ya Afya Dkt. John Mwombeki mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ukaguzi wa kuangalia namna ambavyo hospitali za Serikali zinavyotoa huduma za matibabu lililofanywa na wataalamu kutoka wizara hiyo.

 

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza na  mratibu wa huduma za matibabu kutoka wizara ya Afya Dkt. John Mwombeki mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ukaguzi wa kuangalia namna ambavyo hospitali za Serikali zinavyotoa huduma za matibabu lililofanywa na wataalamu kutoka wizara hiyo.


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo