Wizara ya Afya yakagua utoaji huduma JKCI



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni mkurugenzi wa kurugenzi ya Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delila Kimambo akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa huduma za matibabu kutoka wizara ya Afya na wafanyakazi wa Taasisi hiyo mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ukaguzi wa kuangalia namna ambavyo hospitali za Serikali zinavyotoa huduma za matibabu lililofanywa na wataalamu kutoka wizara hiyo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni mkurugenzi wa kurugenzi ya Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delila Kimambo akizungumza na  mratibu wa huduma za matibabu kutoka wizara ya Afya Dkt. John Mwombeki mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ukaguzi wa kuangalia namna ambavyo hospitali za Serikali zinavyotoa huduma za matibabu lililofanywa na wataalamu kutoka wizara hiyo.

 

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza na  mratibu wa huduma za matibabu kutoka wizara ya Afya Dkt. John Mwombeki mara baada ya kukamilika kwa zoezi la ukaguzi wa kuangalia namna ambavyo hospitali za Serikali zinavyotoa huduma za matibabu lililofanywa na wataalamu kutoka wizara hiyo.


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa