Taasisi ya JAI yasherehekea sikukuu ya Eid al-adha na wagonjwa waliolazwa JKCI

Baadhi ya wawakilishi kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) wakiongozwa na mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mwidini Athumani (mwenye koti jeusi) kushusha chakula, maji na juisi kwa ajili ya kuwapatia wagonjwa waliolazwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam


Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Said Khamisi akimpatia chakula mgonjwa aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joyce Tufanyenini ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Said Khamisi akishirikiana na Muuguzi Kiongozi wa zamu Prisca Kiyuka kumpatia chakula na juisi mgonjwa aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Silver Omary ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Said Khamisi akimpatia chakula mgonjwa aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Omary Omary ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kiongozi wa zamu wodi namba moja Cecilia Njawike


Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Hamis Ramadhani akimpatia chakula mama wa mototo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo Mwajabu Juma ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam

Picha na:  Khamisi Mussa

******************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa