Wananchi wavutiwa na huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo na kisukari zinazotolewa katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Victor Haaly akimpima urefu, uzito na uwiano wa urefu na uzito mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Zenais Ngowi akimpima shinikizo la damu (BP) mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salha Mbarouk akimpima wingi wa sukari mwilini mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.

Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pedro Pallangyo akitoa ushauri wa afya ya moyo kwa mwananchi aliyetembelea banda la JKCI lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.

Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna Faraji akitoa ushauri wa ulaji unaofaa kwa mwananchi aliyetembelea banda la JKCI leo lililopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo katika barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.

Mtafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Zabella Mkojera akimfanyia usajili mwananchi aliyefika katika banda la JKCI lililopo katika maonesho ya Sababasa Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za vipimo vya magonjwa ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.


Picha na: Khamis Mussa

******************************************************************************



 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa