Wajumbe kutoka Bohari ya Dawa Msumbiji (CMAM) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (ANARME) ya nchi hiyo watembelea JKCI kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa


Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Tulizo Shemu akiwaeleza wajumbe kutoka Bohari ya Dawa Msumbiji (CMAM) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (ANARME) jinsi huduma za matibabu ya moyo zinavyotolewa katika Taasisi  hiyo wakati wajumbe hao walipotembelea Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo  akizungumza na ujumbe kutoka Bohari ya Dawa Msumbiji (CMAM) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (ANARME) ya nchini humo walipotembelea Taasisi hiyo kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya  moyo zinazotolewa. Kushoto ni Mfamasia kutoka Bohari ya Dawa (MSD) Faith Edwin.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo  akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Taasisi hiyo na ujumbe kutoka Bohari ya Dawa Msumbiji (CMAM) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (ANARME) ya nchini humo mara baada ya kumaliza ziara yao leo ya kutembelea Taasisi hiyo kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya  moyo zinazotolewa.

Picha na Khamisi Miharo


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo