Wafanyakazi bora robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 wapongezwa

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Dkt. Stella Mongela akipokea ngao ya mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Faith Temba akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Dkt. Alex Loth akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.


Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Dkt. Stella Mongela akitoa neno la shukrani baada ya kupokea ngao ya ushindi wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Faith Temba akielezea mafanikio yaliyopelekea kufikia hatua hiyo baada ya kupokea cheti wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.


Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Dkt. Alex Loth akiwaasa wafanyakazi wenzake kufanya kazi kwa bidii na kufuata sheria na kanuni za utumishi wa umma mara baada ya kupokea cheti wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na: JKCI

******************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa