Wafanyakazi bora robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 wapongezwa

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Dkt. Stella Mongela akipokea ngao ya mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Faith Temba akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Dkt. Alex Loth akipokea cheti cha mfanyakazi bora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.


Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya kwanza Dkt. Stella Mongela akitoa neno la shukrani baada ya kupokea ngao ya ushindi wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya pili Faith Temba akielezea mafanikio yaliyopelekea kufikia hatua hiyo baada ya kupokea cheti wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.


Mfanyakazi bora wa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 aliyeshika nafasi ya tatu Dkt. Alex Loth akiwaasa wafanyakazi wenzake kufanya kazi kwa bidii na kufuata sheria na kanuni za utumishi wa umma mara baada ya kupokea cheti wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza wafanyakazi hao iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na: JKCI

******************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo