Ubalozi wa China watembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akimuonesha moja ya chumba cha kulipia (VIP) Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania Chu Kun alipotembelea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa.

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na mfumo wa umeme wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Yona Gandye akielezea huduma zinazotolewa katika chumba cha upasuaji wa moyo wa bila kufungua kifua (Cathlab) wakati Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa china nchini Tanzania Chu Kun alipotembelea JKCI leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akimuelezea huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania Chu Kun alipotembelea JKCI leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolwea na Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam. 

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angella Muhozya akiwa katika picha ya pamoja na Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania Chu Kun alipotembelea JKCI leo kwa ajili ya kuangalia huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam

Picha na: JKCI
************************************************************************************************
 

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari