Posts

Showing posts from June, 2024

Watu 29,000 wachunguzwa magonjwa mbalimbali kambi ya madaktari bingwa mkoani Arusha.

Image
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha Dkt. Charles Mkombachepa wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya siku nane ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya siku nane ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Afisa kumbukumbu na taarifa za afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Saad Kamtoi akigawa vipeperushi vya shinikizo la juu la damu na lishe kwa wananchi wa mkoa wa Arusha waliofika katika banda la taasisi hiyo kwaajili ya kutibiwa moyo wakati wa

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel atembelea kambi ya uchunguzi na matibabu inayofanyika mkoani Arusha

Image
Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda mara baada ya kupokea mchango wa dawa kutoka kwa wadau wa afya ambazo zitatumika kwa wagonjwa wanaotibiwa katika kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel akisalimiana na viongozi wa dini waliofika katika kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo mkoani Arusha. Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel akiwashukuru wataalamu wa afya wanaotoa huduma kwa wananchi wa mkoa wa Arusha waliofika katika kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wananchi waliofika katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwaajili ya kupata huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa katika kambi maalumu ya k

Askofu Dkt. Mollel awajulia hali wananchi wanaopata huduma ya matibabu ya moyo

Image
Askofu wa Kanisa la Kiinjilisti la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati Dkt. Abel Mollel akiwapa pole wananchi wa mkoa wa Arusha waliofika katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda akimpa pole mwananchi wa mkoa huo aliyefika katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi    na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Kulia ni Askofu wa Kanisa la Kiinjilisti la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati Dkt. Abel Mollel. Afisa Utafiti na Mafunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Zabela Mkojera akichukuwa

Matibabu ya kibingwa ya moyo yatolewa Arusha

Image
Mkurugenzi Mtendaji  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi mkazi wa Arusha aliyefika katika banda la taasisi hiyo kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.   Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nadhiru Nassor akimuhudumia mkazi wa Arusha aliyefika katika banda la taasisi hiyo kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima na kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hania Bwahama akimsikiliza mkazi wa Arusha mara baada ya kumfanyia kipimo cha kuangalia wingi wa sukari kwenye damu aliyefika katika banda la taasisi hiyo kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi  na matibabu ya magonjwa ya moy

RC Makonda: Changamkieni fursa ya kutibiwa moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.Peter Kisenge alimweleza Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda maendeleo ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo kwa wananchi wanaotibiwa katika banda hilo wakati wa kambi maalumu ya kupima magonjwa mbalimbali yakiwemo ya moyo huduma inayotolewa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda akizungumza na wananchi waliokuwa wanasubiri kupata huduma za kibingwa za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa kambi ya maalumu ya matibabu ya siku saba ya magonjwa mbalimbali inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.Peter Kisenge akisalimiana na mkazi wa Arusha aliyefika katika banda la taasisi hiyo kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi  na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya kupima magonjwa mbalimbali inayofanyika katika uwanja wa Sheik

Wakazi wa Ilala watibiwa moyo bila malipo

Image
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edwald Mpogolo akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa zoezi la upimaji wa afya bila malipo kwa wakazi wa Dar es Salaam leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini humo ambapo kampeni hiyo afya check ni mwendelezo  wa siku 10 inayofanyika katika Halmashauri zote tano za Mkoa wa Dar es Salaam. Daktari wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Gloriamaria Kunambi akimfanyia kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography – ECHO) mtoto aliyefika katika kampeni ya afya check inayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo ni mwendelezo wa upimaji wa siku 10 unaofanyika katika Halmashauri zote tano za Mkoa wa Dar es Salaam. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Agnes Ndangamila akimshauri mwananchi aliyetembelea banda la JKCI wakati wa uzinduzi wa zoezi la upimaji wa afya bila malipo kwa wakazi wa Dar es Salaam leo katika viwanja vya Mnazi Mmoj

Dkt. Kisenge aongoza jopo la wataalamu kutibu moyo Arusha

Image
  Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda akizungumza na wananchi waliofika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali katika kambi ya matibabu ya siku saba inayofanyika bila malipo yoyote yale. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye taasisi yake inashiriki katika kambi hiyo  kwa kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi taarifa ya upimaji wa moyo aliomfanyia Shekhe Mkuu  wa Mkoa wa Arusha Shabaan bin Juma wakati wa  kambi maalumu ya matibabu ya siku saba ya magonjwa mbalimbali inayofanyika katika  uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na madaktari wa KilMed Air ambao wanatoa huduma ya matibabu ya dharura katika maeneo yasiyofikika kirahisi ikiwemo kwa watalii wanaopata changamoto za ki

JKCI yashiriki kampeni ya afya check kutoa huduma za matibabu ya moyo

Image
Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Toba Nguvila akizungumza hivi karibuni na wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi wa zoezi la upimaji wa afya bila malipo kwa wakazi wa mkoa wa Dar es Salaam linalofanyika katika viwanja vya Barafu Mburahati. Zoezi hilo la upimaji wa siku 10 litafanyika katika halmashauri zote tano za mkoa wa Dar es Salaam. Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Toba Nguvila akikata Utepe hivi karibuni kuashiria uzinduzi wa zoezi la upimaji wa afya bila malipo kwa wakazi wa mkoa wa Dar es Salaam linalofanyika katika viwanja vya Barafu Mburahati. Zoezi hilo la upimaji wa siku 10 litafanyika katika halmashauri zote tano za mkoa wa Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Feliciana Mselle akimpima shinikizo la damu Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Toba Nguvila alipotembelea banda la taasisi hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upimaji wa afya bila malipo kwa wakazi wa mkoa wa Dar es Salaam. Daktari bingwa

Viongozi wa Serikali ya Nigeria watembelea JKCI

Image
Mkurugenzi wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akiwaeleza huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo viongozi wa Serikali ya Nigeria waliotembelea  taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa pamoja na kuangalia uwekezaji uliofanywa na Serikali katika matibabu ya kibingwa ya moyo nchini. Viongozi wa Serikali ya Nigeria wakiangalia video inayoonyesha huduma za kibingwa za matibabu ya moyo zinazotolewa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kiwete (JKCI) walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa pamoja na kuangalia uwekezaji uliofanywa na Serikali katika matibabu ya kibingwa ya moyo nchini Mkurugenzi wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akipokea zawadi ya saa kutoka kwa kiongozi wa Serikali ya Nigeria wakati viongozi hao walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa pam

Dkt. Kisenge: Jazeni PEPMIS kwa wakati

Image
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge wakati akieleza utendaji kazi wa taasisi hiyo katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi wa taasisi hiyo kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ghati Chacha akiwasisitiza wafanyakazi wa taasisi hiyo kujaza taarifa zao za ya kazi za kila wiki katika mfumo wa PEPMIS wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkuu wa Hospitali ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akichangia mada wakati wa kikao cha wafanyakazi