Wafanya mazoezi ya kupambana na magonjwa yasiyoambukiza


Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa km. 10 wakati wa muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ambukiza  iliyozinduliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tarehe 4 Mei mwaka huu katika viwanja vya Coco beach jijini Dar es Salaam.




 Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa km. 10 wakati wa muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ambukiza  iliyozinduliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tarehe 4 Mei mwaka huu katika viwanja vya Coco beach jijini Dar es Salaam.

Picha na: Khamis Mussa
*********************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma