Wafanya mazoezi ya kupambana na magonjwa yasiyoambukiza
Wafanyakazi
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wanachama wa kikundi cha
Wasafi Jogging Club wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali
wa km. 10 wakati wa muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo
ambukiza iliyozinduliwa rasmi na Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tarehe 4 Mei mwaka
huu katika viwanja vya Coco beach jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wanachama wa kikundi cha
Wasafi Jogging Club wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali
wa km. 10 wakati wa muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo
ambukiza iliyozinduliwa rasmi na Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tarehe 4 Mei mwaka
huu katika viwanja vya Coco beach jijini Dar es Salaam.
Picha na: Khamis Mussa
*********************************************************************************************************
Comments
Post a Comment