JKCI wapatiwa msaada wa viti mwendo 10 vya wagonjwa
Daktari
kutoka kampuni inayojishughulisha na masuala ya afya Stufit Africa PVT Ltd Shujat
Haider akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Dkt. Delilah Kimambo viti mwendo 10 vilivyotolewa na kampuni hiyo kwaajili ya kuhudumia wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi hiyo iliyopo
jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akipokea hati ya umiliki wa viti mwendo 10 kutoka
kwa Mtendaji Mkuu wa kampuni inayojishughulisha na masuala ya afya Stufit
Africa PVT Ltd Mehdi Surani baada ya kukabidhi viti hivyo.
Picha na: JKCI
******************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment