JKCI wapatiwa msaada wa viti mwendo 10 vya wagonjwa


Daktari kutoka kampuni inayojishughulisha na masuala ya afya Stufit Africa PVT Ltd Shujat Haider akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo viti mwendo 10 vilivyotolewa na kampuni hiyo kwaajili ya kuhudumia wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akipokea hati ya umiliki wa viti mwendo 10 kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa kampuni inayojishughulisha na masuala ya afya Stufit Africa PVT Ltd Mehdi Surani baada ya kukabidhi viti hivyo.

Picha na: JKCI

******************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma