Posts

Showing posts from September, 2024

Dkt. Kisenge: Jengeni tabia ya kupima magonjwa ya moyo mara kwa m

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wananchi waliofika katika Kliniki mpya ya JKCI iliyopo Jengo la Mkapa Health Plaza Kawe barabara ya Tuari wakati wa kuadhimisha siku ya moyo duniani leo jijini Dar es Salaam. Katika kuadhimisha siku hiyo JKCI imefanya upimaji wa magonjwa ya moyo wa siku mbili kwa wakazi wa Dar es Salaam bila malipo. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akiwakaribisha wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kupata huduma katika kliniki mpya ya JKCI iliyopo Jengo la Mkapa Health Plaza Kawe barabara ya Tuari wakati wa kuadhimisha siku ya moyo duniani leo jijini Dar es Salaam. Katika kuadhimisha siku hiyo JKCI imefanya upimaji wa magonjwa ya moyo wa siku mbili kwa wakazi wa Dar es Salaam bila malipo. Mkurugenzi wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akielezea tatizo la magonjwa ya moyo lilivyo duniani wakati wa kuadhim...

JKCI yatibu moyo bure Dar es Salaam

Image
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Agnes Mkama akimpima shinikizo la damu mwananchi aliyejitokeza kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya siku mbili kuadhimisha siku ya moyo duniani inayofanywa na Taasisi hiyo katika kliniki mpya ya JKCI iliyopo Jengo la Mkapa Health Plaza Kawe barabara ya Tuari jijini Dar es Salaam Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Nicholaus Steven akimsikiliza mwananchi aliyefanyiwa vipimo vya moyo wakati wa kambi maalumu ya siku mbili kuadhimisha siku ya moyo duniani inayofanywa na Taasisi hiyo katika kliniki mpya ya JKCI iliyopo Jengo la Mkapa Health Plaza Kawe barabara ya Tuari jijini Dar es Salaam Daktari na mtafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Joyce Manyama akimuuliza maswali ya ufahamu kuhusu mangojwa ya moyo mkazi wa Dar es Salaam aliyejitokeza kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika kambi maalumu ya siku mbili kuadhi...

JKCI yapongezwa huduma za kibingwa matibabu ya moyo

Image
Mkurugenzi wa Magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akipokea cheti cha utambuzi wa taasisi hiyo kama mdau wa mkutano wa 56 wa chama cha madaktari unaoendelea katika ukumbi wa St. Gasper Hotel and Conference centre uliopo jijini Dodoma. Daktari bingwa wa upasuaji wa Moyo na mratibu wa uhakiki na udhibiti ubora wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Adelphina Ncheye akitoa maelezo kwa washiriki  wa Mkutano wa 56 wa chama cha madaktari Tanzania waliotembelea katika banda la JKCI jana jijini Dodoma. Madaktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutoka katika mkutano 56 wa Chama Cha Madaktari unaofanyika katika ukumbi wa St. Gasper Hotel and Conferenc e centre uliopo jijini Dodoma. Na: Gilbert Mmbaga ********************************************************************************************************* Naibu Waziri, ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Paschal Katambi amei...

Wataalamu wa afya watakiwa kutumia lugha rafiki kwa wagonjwa

Image
Mkurugenzi wa Magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akimuelezea Naibu Waziri, ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Paschal Katambi huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo jana katika Mkutano wa 56 wa Chama Cha Madaktari unaofanyika katika ukumbi wa St. Gasper Hotel and Conferenc e centre uliopo jijini Dodoma. Madaktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea katika mkutano wa 56 wa chama cha madaktari unaoendelea katika ukumbi wa St. Gasper Hotel and Conference centre uliopo  jijini Dodoma. *************************************************************************************************************** Madaktari na wataalamu wa Afya wametakiwa kutumia lugha rafiki kwa wagonjwa kujenga mahusiano mazuri na kuwapa uhuru kujielezea pale wanapohitaji huduma za matibabu. Lugha rafiki kwa wagonjwa itawasaidia kuelewa na kuwa na uhusiano mzuri na taasisi za afya hivyo kupelekea onge...

JKCI yahamasisha jamii kufanya mazoezi ili ijikinge na magonjwa yasiyoambukiza

Image
  Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt. Peter Kisenge pamoja na kikundi cha Wasafi Jogging Club wakifanya matembezi ya hiari ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza katika kuadhimisha siku ya moyo duniani. Matembezi hayo yanaenda sambamba na upimaji wa siku mbili wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam katika kliniki mpya ya JKCI iliyopo Jengo la Mkapa Health Plaza Kawe barabara ya Tuari. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akifanya mazoezi ya viungo baada ya matembezi ya hiari ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza katika kuadhimisha siku ya moyo duniani. Matembezi hayo yanaenda sambamba na upimaji wa siku mbili wa magonjwa ya moyo kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam katika kliniki mpya ya JKCI iliyopo Jengo la Mkapa Health Plaza Kawe barabara ya Tuari. Wafanyakazi wa Taasis...

Changia matibabu ya moyo kwa watoto, boresha afya zao

Image

UPIMAJI WA MAGONJWA YA MOYO BILA MALIPO TAREHE 28-29/09/2024

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya siku ya moyo duniani itakavyoadhimishwa na taasisi hiyo kwa kufanya matembezi ya hiyari pamoja na kufanya uchunguzi kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Sulende Kubhoja akielezea magonjwa ya moyo kwa watoto wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuelekea siku ya moyo duniani leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya JKCI Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akielezea hali ya magonjwa ya moyo ilivyo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuelekea siku ya moyo duniani leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Picha na: JKCI ******************************************************************************************************************************** Katika ...

Maboresho ya miundombinu yafanyika Hospitali ya JKCI Dar Group

Image
Mhandisi wa vifaa tiba wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Elpidius Prosper akiwaelezea viongozi wa taasisi hiyo maendeleo ya mradi wa mtambo wa kuzalisha oksijeni wakati viongozi wa taasisi hiyo walipotembelea miradi mbalimbali ya JKCI leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na daktari wa huduma za dharura Hospitali ya JKCI Dar Group Nicole Kinyawa wakati wa ziara yake kutembelea miradi ya Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya JKCI Dar Group Dkt. Tulizo Shemu Mhandisi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Lucas Paulo akiwaelezea viongozi wa taasisi hiyo maendeleo ya ukarabati wa chumba cha kufanyia upasuaji wakati viongozi wa taasisi hiyo walipotembelea miradi mbalimbali ya JKCI leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Hospitali ya JKCI Dar G...

JKCI kufanya upasuaji wa moyo wa kisasa kwa njia ya tundu dogo

Image

Watoto kuchangiwa matibabu ya moyo kuokoa maisha yao

Image

Msongo wa mawazo uchangia matatizo ya moyo

Image

Pima afya yako kabla ya kupata dalili

Image

Kufanya uchunguzi wa awali kunasaidia kujijua

Image

JKCI na Hospitali ya Medanta ya India kushirikiana matibabu ya moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na Daktari bingwa wa moyo kutoka Hospitali ya Medanta iliyopo nchini India Preveen Chandra na wataalamu wengine wa afya baada ya kumuaga daktari huyo leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpa tuzo ya kutambua mchango wake kutokana na huduma aliyoitoa ya kubadilishana ujuzi kwa wataalamu wa taasisi hiyo daktari bingwa wa moyo kutoka Hospitali ya Medanta iliyopo nchini India Preveen Chandra leo wakati wa kumuaga baada ya kutembelea JKCI na kufanya upasuaji wa tundu dogo na wataalamu wa JKCI.  Daktari bingwa wa moyo kutoka Hospitali ya Medanta iliyopo nchini India Preveen Chandra akizungumza na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) baada ya kushirikiana nao kufanya upasuaji wa tundu dogo kwa wagonjwa watano wanaotibiwa na Taasisi hiyo. Wataalamu wa afya wakiwa katika picha ya pamoja mara baada y...

JKCI kutanua huduma za matibabu ya moyo nchini

Image
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumzwa wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Khuzeima Khanbhai akielezea kuhusu maendeleo ya maandalizi kikao cha CardioTan kinachoandaliwa na Taasisi hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joachim Asenga akijibu hoja za wafanyakazi wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kiteng...