Posts

Showing posts from 2026

Viongozi wa JKCI SACCOS watakiwa kufanya uwekezaji

Image
Mwenyekiti wa Bodi ya SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tulizo Shemu akizungumza na wanachama wa SACCOS hiyo wakati wa mkutano mkuu wa sita uliofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa PSSF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwaeleza wanachama wa SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) umuhimu wa kuwekeza wakati wa mkutano Mkuu sita wa Chama hicho uliofanyika   mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa PSSF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam.  Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Abdulhakim Haidar akitoa ufafanuzi kuhusu uwekezaji kwa wanachama wa SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mkutano mkuu wa sita wa SACCOS hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa PSSF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa SACCOS ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sophia Bishashara akichangia mada wakati wa mkutano mkuu ...

JKCI yawafanyia uchunguzi wa afya wafanyakazi 134 wa Bohari ya Dawa (MSD)

Image
Daktari kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Edward Martin akizungumza na mfanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) Doreen Josiah mara baada ya kufanya uchunguzi wa afya wakati wa kambi maalumu ya siku ya mbili iliyokuwa ikifanywa na wataalamu kutoka JKCI na kumalizika jana katika Ofisi za MSD zilizopo jijini Dar es Salaam.  Mtaalamu wa Maabara kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Daniel Munishi akimpima wingi wa sukari katika damu mfanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) Ziada Athumani wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzuzi wa afya iliyokuwa ikifanywa na wataalamu kutoka JKCI na kumalizika jana katika Ofisi za MSD zilizopo jijini Dar es Salaam. Afisa Utafiti na Mafunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Makrina Komba akimpima shinikizo la damu mfanyakazi wa Bohari ya Dawa (MSD) Peace Nyankojo wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzuzi wa afya iliyokuwa ikifanywa na wataalamu kutoka JKCI na kumalizika ja...

Mchengerwa asema JKCI nguzo huduma za afya AFCON

Image
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi kitabu Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa kinachohusu watoto waliozaliwa kabla ya muda (watoto njiti) alipotembelea hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC)  katika ziara yake ya kuangalia   maandalizi ya kitiba kuelekea mashindano ya  AFCON 2027 aliyoifanya katika hospitali hiyo. Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa akipokea ua kutoka kwa Victoria Komba alipotembelea hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo kwa sasa inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ni  maandalizi ya kitiba kuelekea mashindano ya  AFCON 2027. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) Salehe Mwinchete akimueleza Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa kuhusu vifaa vya kisasa vinavyosaidia kuwatunza watoto waliozaliwa kabla ya muda (watoto njiti)  katika ziara yake ...

Wataalamu kutoka nchi 25 washiriki mkutano wa kimataifa wa magonjwa ya m...

Image

Wafanyakazi wa MSD wafundishwa njia madhubuti za kujikinga na magonjwa ya moyo.

Image
Mtaalamu wa tiba viungo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Jackline Mariki akitoa elimu kuhusu afya bora mahala pa kazi wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa afya kwa wafanyakazi wa Boharai Kuu ya Dawa (MSD) iliyoanza leo katika ofisi za MSD zilizopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu kutoka Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Mboyi Wishega akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wafanyakazi wa MSD wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa afya inayofanywa na wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika ofisi za MSD zilizopo jijini Dar es Salaam. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce akimuonesha namna uwiano wa uzito na urefu unavyatakiwa kuwa Mfanyakazi wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Christopher Komba wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya uchunguzi wa afya inayofanywa na wataalamu kutoka JKCI katika ofisi za MSD zilizopo jijini Dar es Sal...

Hatua Kubwa ya maboresho ya Afya – JKCI yazindua kitengo cha Dialysis ch...

Image

Taasisi nne za Afya zashirikiana kuboresha huduma kwa wagonjwa

Image
Wakurugenzi Watendaji kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo, Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Balozi Ulisubisya na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa kikao cha ujirani mwema kuimarisha ushirikiano na kuboresha utoaji wa huduma kilichofanyika leo katika Ukumbi wa MOI iliyopo jijini Dar es Salaam. Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza wakati wa kikao cha ujirani mwema kati ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kuimarisha ushirikiano na kuboresha utoaji wa huduma kilichofanyika leo katika Ukumbi wa MOI iliyopo jijini Dar es Salaam. Wakurugenzi Watendaji kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwe...

Washiriki 600 kutoka mataifa 60 kukutana Dar kwa mkutano wa kimataifa wa moyo - CardioTan Imaging 2026

Image
Mwenyekiti wa   Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 ,Iddi Lemah akiwaeleza waandishi wa habari namna mkutano huo utakavyofanyika wakati wa hafla fupi ya kuutambulisha mkutano huo uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza kuhusu  Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 ,  utakaofanyika mwezi Juni mwaka huu wakati wa hafla fupi ya kuukutanisha mkutano huo iliyofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya  Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo – CardioTan Imaging 2026 na wafanyakazi wa Taasisi hiyo baada ya kumalizika kwa hafla fupi ya kuutambulisha mkutano huo...

JKCI, UDSM wazalisha mashujaa wa kuokoa maisha Afrika

Image
Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akimkabidhi cheti kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge muuguzi ambaye amehitimu mafunzo ya miezi sita ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi kutoka nchini Zambia Angela Mukupa wakati wa hafla fupi ya kuhitimisha mafunzo hayo leo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Jumla ya wauguzi 14 kutoka nchi za Tanzania, Zambia na Rwanda wamehitimu mafunzo hayo. Mwakilishi wa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo-Tafiti Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. Leonald Binamungu akimkabidhi zawadi muuguzi ambaye amehitimu mafunzo ya miezi sita ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi kutoka nchini Rwanda Manirakiza Frederick wakati wa hafla fupi ya kuhitimisha mafunzo hayo leo katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Jumla ya wauguzi 14 kutoka nchi za Tanzania, Zambia na Rwanda wamehitimu mafunzo hayo. Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt....

Machozi ya furaha: Wazazi waishukuru Serikali kwa kuokoa maisha ya watoto

Image

Bodi mpya ya ALMC–JKCI kuchochea maboresho ya huduma za Moyo Kaskazini

Image

Naibu Waziri ahimiza Bima ya Afya kwa Wote, Aonya mshtuko wa gharama za ...

Image

Bodi mpya ya ALMC–JKCI kuchochea maboresho ya huduma za Moyo Kaskazini

Image
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati (DKAK) Dkt. Godson Abel Mollel,    Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, Katibu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati (DKAK) Mwl. Solomon Loshilu Sambweti na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wakiwa katika    picha ya pamoja baada ya kikao cha kwanza cha bodi ya wakurugenzi wa Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa JKCI kilichofanyika    katika ukumbi wa mikutano wa ALMC. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini (DKAK) Dkt. Godson Abel Mollel akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Bodi ya Wakurugenzi wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) ambayo inasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kilichofanyika hivi karibuni jijini Arusha. Katibu Mkuu wa  Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini ...