Rasimu ya kwanza ya mpango mkakati wa tatu wa JKCI yajadiliwa





Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Fiona Kavishe akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Mshauri wa mpango mkakati kutoka kampuni ya Bankable Tanzania Limited Caroline Chema akiwasilisha rasimu ya kwanza ya mpango mkakati wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa wajumbe wa kamati ya mpango huo leo jijini Dar es Salaam.

Picha na: JKCI

***************************************************************************************

 





Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi