Rasimu ya kwanza ya mpango mkakati wa tatu wa JKCI yajadiliwa
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mpango mkakati wa tatu
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani akichangia mada
wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini
Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati
wa tatu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mada zilizokuwa
zikiendelea wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika
leo jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mpango mkakati wa tatu wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Fiona Kavishe akichangia mada wakati wa
kikao cha kupitia rasimu ya kwanza ya mpango huo kilichofanyika leo jijini Dar
es Salaam.
Mshauri wa mpango mkakati kutoka kampuni ya Bankable Tanzania
Limited Caroline Chema akiwasilisha rasimu ya kwanza ya mpango mkakati wa tatu
wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa wajumbe wa kamati ya mpango huo
leo jijini Dar es Salaam.
Picha na: JKCI
***************************************************************************************






Comments
Post a Comment