JKCI Yatoa Rai kwa Watumishi Kuongeza Ufanisi na Weledi Kazini
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa kikao
cha wafanyakazi kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa JKCI
jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dkt. Tulizo Shemu akichangia mada wakati wa kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) CPA. Agnes Kuhenga akiwasilisha taarifa ya fedha ya mapato na matumizi ya taasisi hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi
kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini
Dar es Salaam.
Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Magreth Mbaruku akichangia mada wakati wa kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa JKCI iliyopo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Hospitali ya Dar Group wakimsikiza Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter
wakati wa kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika hivi karibuni
katika ukumbi wa mikutano wa taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) makao
makuu wakisikiliza wakimsikiza Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter wakati wa
kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika hivi karibuni katika
ukumbi wa mikutano wa taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.






Comments
Post a Comment