MFANYAKAZI BORA ROBO YA NNE YA MWAKA WA FEDHA 2019/2020 APONGEZWA

Mfanyakazi bora robo ya nne ya mwaka wa fedha 2019/2020 Dkt. Smita Bhalia akipokea Tuzo ya mfanyakazi bora kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati wa hafla fupi ya kumpongeza leo Jijini Dar es Salaam

Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma