MFANYAKAZI BORA ROBO YA NNE YA MWAKA WA FEDHA 2019/2020 APONGEZWA

Mfanyakazi bora robo ya nne ya mwaka wa fedha 2019/2020 Dkt. Smita Bhalia akipokea Tuzo ya mfanyakazi bora kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati wa hafla fupi ya kumpongeza leo Jijini Dar es Salaam

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari