Wananchi wapata huduma za kibingwa za matibabu ya moyo Sabasaba

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Abderehmani Njale akiwafundisha namna ya kumhudumia mgonjwa anayehitaji huduma ya dharura raia wa India waliofika katika banda la JKCI lililopo katika Banda la Jakaya Kikwete wakati wa Maonesho ya Sabasaba.


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimsikiliza afisa lishe wa Taasisi hiyo Husna Faraji alipotembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika Banda la Jakaya Kikwete wakati wa  maonesho ya Sabasaba yanayofanyika jijini Dar es Salaam.

Afisa huduma bora kwa wateja wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildegard Karau akimwelezea mwananchi aliyefika katika banda la JKCI lililopo katika Banda la Jakaya Kikwete huduma zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati wa Maonesho ya Sabasaba yanayofanyika jijini Dar es Salaam.


Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Irene Mdingi kimpima shinikizo la damu mwananchi aliyetembelea banda la JKCI lililopo Banda la Jakaya Kikwete katika maonesho ya sabasaba kwaajajili ya kupata huduma za upimaji na matibabu ya kibingwa ya magonjwa ya moyo.


Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma