Wahudumu wa afya wastaafu JKCI wapongezwa kwa utendaji mzuri wa kazi wakati wa utumishi wao

Wahudumu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete wanaostaafu Edith Bonamali pamoja na Elina Moshi wakikata keki iliyoandaliwa na Taasisi hiyo kwa ajili ya kuwapongeza wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam

Mhudumu wa afya mstaafu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edith Bonamali akitoa neno la shukrani wakati wa hafla fupi ya kuwaanga wastaaafu wawili wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Mhudumu wa afya mstaafu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Elina Moshi akitoa neno la shukrani wakati wa hafla fupi ya kuwaanga wastaaafu wawili wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wahudumu wa afya wawili wanaostaafu kutoka katika Taasisi hiyo wakati wa hafla fupi ya kuwaaga leo jijini Dar es Salaam

Picha na: JKCI             
*******************************************************************************************************************************
 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)