Wahudumu wa afya wastaafu JKCI wapongezwa kwa utendaji mzuri wa kazi wakati wa utumishi wao

Wahudumu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete wanaostaafu Edith Bonamali pamoja na Elina Moshi wakikata keki iliyoandaliwa na Taasisi hiyo kwa ajili ya kuwapongeza wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam

Mhudumu wa afya mstaafu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Edith Bonamali akitoa neno la shukrani wakati wa hafla fupi ya kuwaanga wastaaafu wawili wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Mhudumu wa afya mstaafu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Elina Moshi akitoa neno la shukrani wakati wa hafla fupi ya kuwaanga wastaaafu wawili wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wahudumu wa afya wawili wanaostaafu kutoka katika Taasisi hiyo wakati wa hafla fupi ya kuwaaga leo jijini Dar es Salaam

Picha na: JKCI             
*******************************************************************************************************************************
 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo