Posts

Showing posts from February, 2025

Upimaji wa magonjwa ya moyo kwa wanawake, wajawazito na watoto mkoani Arusha

Image
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Anna Nkinda akigawa vipeperusha vya lishe na shinikizo la juu la damu kwa wananchi   wa mkoa wa Mbeya waliofika  kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zilizokuwa zinatolewa katika kambi maalumu ya matibabu iliyofanyika hivi karibuni  katika viwanja vya City Park Garden. Jumla ya watu  751  walipata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi hiyo. ******************************************************************************************************************************************************************************************************* Katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake tarehe 08/03/2025 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha   tutatoa huduma za tiba mkoba zijulikanazo kwa jina la Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Services kwa kufanya upimaji wa magonjwa ya moyo...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA UONGOZI WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Image
************************************************************************************************************************* Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ni Hospitali maalum na Chuo Kikuu cha mafunzo ya utaalamu wa matibabu ya moyo inayomilikiwa na Serikali inayotoa mafunzo na huduma za utafiti wa moyo. Kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya awamu ya sita chini ya utawala wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeona jumla ya wagonjwa 745,837 kati ya hao watu wazima walikuwa 674,653 na watoto 71,184 wagonjwa waliolazwa walikuwa 30,645 watu wazima wakiwa 25,273 na watoto 5,372. Wagonjwa waliotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Upanga walikuwa 513,484 kati ya hao watu wazima 470,119 na watoto 43,365 wagonjwa waliolazwa walikuwa 17,668 watu wazima wakiwa 14,580 na watoto 3,088. Katika hospitali yetu ya Dar Group iliyopo eneo la TAZARA tumetibu wagonjwa 278,839   kati yao watu wazima walikuwa 238,570 na Watot...

JKCI yatoa mafunzo ya awali ya kuokoa maisha kwa waongoza watalii Zanzibar

Image
Waziri wa Afya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na wataalamu wa afya jana katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) wakati wa uzinduzi wa mkutano wa tatu wa magonjwa ya moyo (CardioTan) 2025 utakaofanyika tarehe 10 hadi 12 mwezi Aprili mjini Zanzibar. Mkutano huo unasimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akielezea mafanikio ya mkutano wa CardioTan 2024 wakati wa uzinduzi wa mkutano wa tatu wa magonjwa ya moyo (CardioTan) 2025 utakaofanyika tarehe 10 hadi 12 Aprili jana katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) mjini Zanzibar.  Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Amoor Mohamed akielezea changamoto ya magonjwa ya moyo ilivyo Zanzibar wakati wa uzinduzi wa mkutano wa tatu wa magonjwa ya moyo (CardioTan) 2025 utakaofanyika tarehe 10 hadi 12 Aprili jana katika ukumbi wa mikutano wa Shi...

Dkt. Mpango aitaka JKCI kutoa elimu kwa umma ya magonjwa ya moyo

Image
Wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa  Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi maalumu ya matibabu kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya. Jumla ya watu  751  walipata huduma za uchunguzi na matibabu  watu wazima walikuwa 720 na watoto 31.  Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Anna Nkinda akigawa vipeperusha vya lishe na shinikizo la juu la damu kwa wananchi   wa mkoa wa Mbeya waliofika  kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zilizokuwa zinatolewa katika kambi maalumu ya matibabu iliyofanyika katika viwanja vya City Park Garden. Jumla ya watu  751  walipata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi hiyo. Afisa Muuguzi wa  Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) akimpima uwiano baina ya urefu za uzito  mkaz...

Wakazi wa Mbeya wanufaika na huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo

Image
  Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Stella Mongella akimpima mtoto kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi wakati wa  kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya moyo inafanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Watafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakichukua taarifa za wananchi  waliofika  katika viwanja vya City Park Garden vilivyopo jijini Mbeya kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Wakazi wa mkoa wa Mbeya wakisubiri kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zilizokuwa zinatolewa katika kambi maalumu ya matibabu iliyofanyika katika viwanja vya City Park ...

Wataalamu kutoka Misri wafika JKCI kubadilishana ujuzi

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na madaktari bingwa wa moyo kutoka nchini Misri walipofika JKCI jana kwaajili ya kuangalia jinsi taasisi hiyo inavyofanya kazi pamoja na kubadilishana ujuzi. Rais wa Chama cha madaktari wa moyo nchini Misri Prof. Ahmed Ashraf Eissa akiwaelezea namna Misri inavyotoa huduma za matibabu ya moyo kwa wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) mara baada ya wataalamu hao kufika JKCI jana kwaajili ya kuangalia jinsi taasisi hiyo inavyofanya kazi pamoja na kubadilishana ujuzi. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka nchini Misri Ghada Kazamel akielezea namna ugonjwa wa shinikizo la damu unaweza kuleta madhara wakati wataalamu wa magonjwa ya moyo kutoka nchini Misri walipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) jana kwaajili ya kuangalia jinsi taasisi hiyo inavyofanya kazi pamoja na kubadilishana ujuzi.  Baadhi ya wataalamu wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...

Naibu Katibu Mkuu Ntonda avutiwa na utoaji wa huduma za matibabu ya moyo mkoani Mbeya

Image
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Methusela Ntonda akizungumza na  Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Anna Nkinda kuhusu kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya moyo inafanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) katika mkutano wa 109 wa Wadau wa Elimu kwa Umma. Kushoto ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Patrick Mvungi. Afisa  Lishe wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Maria Samlongo akitoa elimu ya lishe bora kwa wananchi waliofika katika viwanja vya City Park Garden vilivyopo jijini Mbeya kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zijulikanazo kwa jina la Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Services. Huduma hizo zinazotolewa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ...

Wananchi Mbeya waishukuru Serikali kuwafikishia huduma za kibingwa za matibabu ya moyo

Image
  Afisa Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loveness Mfanga akichukua taarifa za mwananchi aliyefika katika viwanja vya City Park Garden vilivyopo jijini Mbeya kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Mmari akimuhudumia mwananchi aliyefika  katika viwanja vya City Park Garden vilivyopo jijini Mbeya kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zijulikanazo kwa jina la Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Services. Huduma hizo zinazotolewa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). ******************************************************************************************...