Posts

Showing posts from February, 2025

Mkurugenzi Mtendaji JKCI atembelea maonesho ya Arab Health Dubai

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge  atembelea maonyesho ya Arab Health yanayofanyika Dubai katika nchi ya  Falme za Kiarabu   na kujionea maendeleo makubwa ya  technologia ya matibabu ya moyo.