Wagonjwa 14 ambao mishipa yao ya damu ilikuwa imeziba kwa muda mrefu wafanyiwa upasuaji wa moyo




Wataalamu wa upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cathlab wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na mwenzao kutoka Chuo cha shams kilichopo nchini Misri Prof. Atef Mohamed wakimfanyia upasuaji wa kuzibua mshipa wa damu ulioziba kwa muda mrefu (chronic occlusion) mgonjwa wakati wa kambi maalumu ya siku tano iliyokuwa ikifanyika katika Taasisi hiyo hivi karibuni. Jumla ya wagonjwa 14 ambao mishipa yao ya damu ilikuwa imeziba kwa muda mrefu wamefanyiwa upasuaji huo.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa