Wagonjwa 14 ambao mishipa yao ya damu ilikuwa imeziba kwa muda mrefu wafanyiwa upasuaji wa moyo




Wataalamu wa upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cathlab wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na mwenzao kutoka Chuo cha shams kilichopo nchini Misri Prof. Atef Mohamed wakimfanyia upasuaji wa kuzibua mshipa wa damu ulioziba kwa muda mrefu (chronic occlusion) mgonjwa wakati wa kambi maalumu ya siku tano iliyokuwa ikifanyika katika Taasisi hiyo hivi karibuni. Jumla ya wagonjwa 14 ambao mishipa yao ya damu ilikuwa imeziba kwa muda mrefu wamefanyiwa upasuaji huo.

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa