Mkurugenzi Mtendaji JKCI atembelea maonesho ya Arab Health Dubai





Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge  atembelea maonyesho ya Arab Health yanayofanyika Dubai katika nchi ya  Falme za Kiarabu   na kujionea maendeleo makubwa ya  technologia ya matibabu ya moyo.
 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)