JKCI kushirikiana na Canada matibabu ya moyo ya watoto

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na Wataalamu kutoka Shirika la Sick Kids International la nchini Canada walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kuangalia namna ambavyo watashirikiana na JKCI katika kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo kwa watoto.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na Wataalamu kutoka Shirika la Sick Kids International la nchini Canada walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kuangalia namna ambavyo watashirikiana na JKCI katika kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo kwa watoto.

Wataakamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja na Wataalamu kutoka Shirika la Sick Kids International la nchini Canada walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwaajili ya kuangalia namna ambavyo watashirikiana na JKCI katika kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo kwa watoto.

************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa