Posts

Showing posts from July, 2025

JKCI yatoa elimu ya lishe kwa kutumia pyramid ya vyakula halisi

Image
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna Faraji akiwafundisha watoto waliotembelea banda la Taasisi hiyo makundi ya vyakula na aina ya vyakula hivyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Afisa Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Makrina Komba akimpima mzunguko wa tumbo mwananchi alifika katika banda la Taasisi hiyo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Afisa Uuguzi kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group France Kapele akiwafundisha wanafunzi kutoka shule ya Maximilian namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa wa dharura walipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimatai...

Wanaume wajitokeza kwa wingi kupima moyo Sabasaba

Image
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Victoria Ngalomba akimpima wingi wa sukari kwenye damu mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Daktari wa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ahmed Mchina akisikiliza mapigo ya moyo ya mtoto aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerete barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. ********************************************************************************************************************************************************************************************** Watu 755 wamepata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam...

Mafunzo ya utoaji wa huduma za dharura yatolewa katika maonesho ya Sabasaba

Image

Tembelea banda la JKCI katika maonesho ya Sabasaba upate huduma za uchu...

Image

Global Fund watembelea JKCI kuangalia mtambo wa Oksijeni

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na viongozi kutoka Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Ukimwi, Kifua kikuu na Ukoma (Global Fund) walipotembelea Taasisi hiyo jana kwaajili ya kuangalia mtambo wa Oksijeni uliosimikwa katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mhandisi wa vifaa tiba kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya kikwete (JKCI) Eng. Abela Rweguza akiwaelezea viongozi kutoka Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Ukimwi, Kifua kikuu na Ukoma (Global Fund) namna ambavyo JKCI imefaidika na mtambo wa Oksijeni uliosimikwa JKCI wakati wa ziara yao jana kuangalia namna unavyofanya kazi. Msimamizi wa chumba cha uangalizi maalumu cha watoto wenye magonjwa ya moyo (ICU) Mohamed Wamara akiwaelezea namna oksijeni inavyowafikia watoto waliolazwa ICU viongozi kutoka Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Ukimwi, Kifua kikuu na Ukoma (Global Fund) walipotembelea Taasisi hiyo jana kuangalia namna mtambo wa Oksijeni uliosimikwa JKCI unavyofanya kazi. Mhandisi ...

Jaji Mstaafu afurahia huduma za upimaji na matibabu ya moyo aliyoipata k...

Image

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima moyo Dodoma

Image

JKCI yatoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika maonesho ya sa...

Image

Huduma ya upimaji na matibabu ya moyo yatolewa katika wiki ya Utumishi w...

Image

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima moyo Dodoma

Image

Watu 537 wapimwa moyo Arusha kambi ya madaktari bingwa wabobezi

Image
  Daktari bingwa wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rose Chengo akimpima mapigo ya moyo mtoto aliyeletwa na mzazi wake kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali iliyomalizika hivi karibuni katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Afisa Muuguzi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Amad Mlilapi akimpima shinikizo la damu mkazi wa Arusha wakati wa kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali iliyomalizika hivi karibuni  katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Bertha Massawe akimsomea majibu ya mfumo wa umeme wa moyo mwananchi aliyefika kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika  kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi  wa magonjwa mbalimbali iliyomalizika hivi karibuni katika  uwanja wa Sheikh Amri Abeid  jijini Arusha. ********************************...

Watu 232 wapimwa moyo banda la JKCI maonesho ya Sabasaba

Image
Daktari wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ahmed Mchina akimfundisha mtoto aliyetembelea banda la Taasisi hiyo namna ya kutoa huduma ya kwanza wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Afisa Uuguzi wa chumba cha upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nyamtacho Senteuh akiwafundisha watoto waliotembelea banda la Taasisi hiyo jinsi moyo unavyofanya kazi wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba).  Mjumbe kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Heat Team Africa Foundation (HTAF) Irene Mbonde akipokea fedha za kuchangia matibabu ya watoto wenye matatizo   ya moyo zilizotolewa na mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). **************************************************************************************************************************************************************************...