JKCI kuanza mchakato wa upandikizaji wa moyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi mfano wa moyo Mwenyekiti wa kamati ya upandikizaji wa moyo Dkt. Everist Nyawawa wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo leo katika ukumbi wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwajulia hali wanachama wa chama cha wagonjwa wa moyo nchini wakati wa uzinduzi wa kamati ya upandikizaji wa moyo uliofanyika leo katika ukumbi wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam Baadhi ya wanachama wa chama cha wagonjwa wa moyo nchini wakisikiliza wakati wa uzinduzi wa kamati ya upandikizaji wa moyo uliofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) uliopo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na wahariri wa vyombo vya habari mara baada kumalizika kwa uzinduzi wa kamati ya upandikizaji wa moyo leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo uliopo jij...