Wafanyakazi wa JKCI wapewa mafunzo ya Uzalendo, Mawasiliano ndani ya Serikali na Uadilifu


Mwezeshaji wa mafunzo ya Uzalendo, Mawasiliano ndani ya Serikali  na Uadilifu Balozi Omar Kashera akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mafunzo hayo ya siku moja yaliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge.

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza mafunzo ya Uzalendo, Mawasiliano ndani ya Serikali na Uadilifu yaliyokuwa yanatolewa jana na Balozi Omar Kashera katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma