Wafanyakazi wa JKCI wapewa mafunzo ya Uzalendo, Mawasiliano ndani ya Serikali na Uadilifu


Mwezeshaji wa mafunzo ya Uzalendo, Mawasiliano ndani ya Serikali  na Uadilifu Balozi Omar Kashera akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mafunzo hayo ya siku moja yaliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge.

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakisikiliza mafunzo ya Uzalendo, Mawasiliano ndani ya Serikali na Uadilifu yaliyokuwa yanatolewa jana na Balozi Omar Kashera katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Wateja wa CRDB kutibiwa JKCI kwa punguzo la asilimia 50%

Wanawake wa JKCI SACCOS wanaongoza kwa kumiliki hisa

JKCI, MOI NA MNH waitwa Comoro kutoa huduma za matibabu ya kibingwa