Wafanyakazi wa JKCI wafanya mazoezi kulinda afya ya moyo


Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kuanza kwa mbio za taratibu (Joggong) za umbali wa Km. 7 ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”. Matembezi hayo yamefanyika jana kwa mara ya tano Jijini Dar es Salaam tangu yazinduliwa mwezi Desemba mwaka 2022





Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wanachama wa kikundi cha Wasafi Jogging Club wakifanya mazoezi ya mbio za taratibu (Jogging) za umbali wa Km. 7 wakati wa muendelezo wa kampeni ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza inayofanywa na Taasisi hiyo yenye kauli mbiu “Tembea na JKCI, Linda Afya ya Moyo Wako”. Matembezi hayo yamefanyika jana kwa mara ya tano Jijini Dar es Salaam tangu yazinduliwa mwezi Desemba mwaka 2022


Picha na: Khamis Mussa

******************************************************************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari