Wachezaji wa klabu ya Yanga wafanyiwa vipimo vya moyo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi na mashindano ya kimataifa ya vilabu



Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Henry Mayala akimpima jinsi moyo unavyofanya kazi mchezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga wakati wachezaji wa timu hiyo walivyofika JKCI jana kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ikiwa ni maandalizi ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi na mashindano ya kimataifa ya vilabu

Afisa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Haule akimpima urefu, uzito, na uwiano wa urefu na uzito (BMI) mchezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga African Sport Club Clement Mzize wakati wachezaji wa timu hiyo walivyofika JKCI jana kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ikiwa ni maandalizi ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi na mashindano ya kimataifa ya vilabu

Picha na: Khamis Mussa

*******************************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari