Wagonjwa 70 kuzibuliwa mishipa ya damu ya miguu iliyoziba
Wataalamu wa magonjwa ya moyo na mishipa ya damu wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao Suhail Bukhari kutoka Hospitali ya BLK
iliyopo nchini India wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kuzibua mishipa ya damu ya
miguu (Peripheral Interventions) ambayo haipitishi damu vizuri wakati wa kambi
maalumu ya siku tano ya matibabu hayo inayofanyika jijini Dar es Salaam. Jumla
ya wagonjwa 70 wenye matatizo ya mishipa ya damu ya miguu iliyoziba wanatarajia
kupatiwa matibabu katika kambi hiyo ambayo ni ya kwanza kufanyika hapa nchini
Picha na: JKCI
***********************************************************************************************************
Comments
Post a Comment