Wafanyakazi wa JKCI wapata mafunzo ya kutoa huduma bora kwa wagonjwa
Mwezeshaji
kutoka kampuni ya VERTEX Charles Nduku akiwafundisha wafanyakazi wa Taasisi ya
Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) jinsi ya kutoa huduma bora kwa wateja wanaowahudumia
wakati wa mafunzo hayo yaliyotolewa kwa wafanyakazi wa kada mbalimbali leo
katika ukumbi wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya jinsi ya kutoa huduma bora
kwa wateja wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea kwenye mafunzo hayo leo
katika ukumbi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es
Salaam.
Mfanyakazi wa mapokezi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Safina Tibanyendera akichangia mada wakati wa mafunzo ya jinsi ya kutoa huduma
bora kwa wateja yaliyofanyika kwa wafanyakazi wa kada mbalimbali wa taasisi
hiyo leo katika ukumbi wa JKCI uliopo
jijini Dar es Salaam.
Mwezeshaji
kutoka kampuni ya VERTEX Charles Nduku akiwafundisha wafanyakazi wa Taasisi ya
Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) jinsi ya kutoa huduma bora kwa wateja wanaowahudumia
wakati wa mafunzo hayo yaliyotolewa kwa wafanyakazi wa kada mbalimbali leo
katika ukumbi wa JKCI uliopo jijini Dar es Salaam
Picha na: JKCI
************************************************************************************************
Comments
Post a Comment