JKCI yashiriki mazoezi ya kutembea maandalizi ya mbio za CRDB Marathon
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila,
Mkurugenzi Mkuu wa benki ya CRDB Abdulmajid Nsekela na Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge pamoja na wadau wa
mbio za CRDB Marathoni wakifanya mazoezi ya viungo ikiwa ni maandalizi ya kuelekea
mbio za CRDB Marathon zitakazofanyika mwezi Agosti mwaka huu kuchangia matibabu
ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI.
Baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
wakifanya mazoezi ya viungo ikiwa ni maandalizi ya kuelekea mbio za CRDB
Marathon zitakazofanyika mwezi Agosti mwaka huu kuchangia matibabu ya watoto
wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI.
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) wakifanya mazoezi ya kutembea ikiwa ni maandalizi ya kuelekea mbio za
CRDB Marathon zitakazofanyika mwezi Agosti mwaka huu kuchangia matibabu ya
watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa JKCI.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.
Peter Kisenge akizungumza na viongozi kutoka CRDB benki mara baada ya kufanya
mazoezi ikiwa ni maandalizi ya kuelekea mbio za CRDB Marathon zitakazofanyika
mwezi Agosti mwaka huu kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo
wanaotibiwa JKCI.
Comments
Post a Comment