Matibabu ya kibingwa ya moyo yatolewa Sabasaba

Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wanaotoa huduma katika banda la taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja. 

Daktari wa huduma za dharura kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Nicole Kinyawa akiwafundisha wananchi waliotembelea banda la taasisi hiyo namna ya kumsaidia mgonjwa anayehitaji huduma ya dharura wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam

Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Elius Birago akimuonyesha mwananchi aliyepata huduma katika banda la taasisi hiyo majibu ya kipimo cha shinikizo la damu wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam

Fundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikiwete (JKCI) Renata Kulwa akimpima kipimo cha kuangalia mfumo wa umeme wa moyo mwananchi aliyetembelea banda la taasisi hiyo wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam

Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hildagard Karau akimwelezea huduma zinazopatikana katika banda la taasisi hiyo raia wa China alipotembelea banda hilo wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam

Afisa Utafiti na Mafunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Loveness Mfanga akiwasajiri wananchi waliotembelea banda la taasisi hiyo wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara Dar es Salaam yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam

Picha na: Hamis Mussa

*******************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari