JKCI yatoa huduma mpya maonesho ya Sabasaba
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Dkt. Peter Kisenge akimsikiliza mtaalamu wa afya kutoka Hospitali ya Taifa
Muhimbili (MNH) alipotembelea banda hilo wakati wa maonesho ya biashara ya
kimataifa ya 48 yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba barabara ya kilwa
jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa huduma za afya mtandao kutoka kampuni ya
cloudscrip Beatrice Mmari akimuelekeza mfanyakazi wa BOT Lameck Kakulu namna ya
kujisajiri katika mtandao ili kupata huduma za afya zinazotolewa na JKCI wakati
wa maonesho ya biashara ya kimataifa ya 48 yanayoendelea katika viwanja vya
Sabasaba barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam.
Wananchi waliotembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) lililopo katika maonesho ya kimataifa ya 48 ya biashara ya Dar
es Salaam wakiwa katika foleni ya kupatiwa huduma za uchunguzi wa magonjwa ya
moyo.
Picha na: JKCI
******************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment