Gambia kushirikiana na JKCI tiba ya matibabu ya moyo
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akiwatembeza katika baadhi ya maeneo ya Taasisi hiyo viongozi kutoka Wizara ya Afya na wengine kutoka Taasisi ya Bima ya Afya ya Gambia walipotembelea taasisi hiyo kwaajili ya kujifunza na kuona uwekezaji uliowekwa na Serikali leo jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Ubora wa Huduma wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naiz Majani akiwaelezea namna ambavyo huduma zinatolewa kwa wagonjwa viongozi kutoka Wizara ya Afya na wengine kutoka Taasisi ya Bima ya Afya ya Gambia walipotembelea taasisi hiyo kwaajili ya kujifunza na kuona uwekezaji uliowekwa na Serikali leo jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akiwaonesha moja ya chumba cha VIP viongozi kutoka Wizara ya Afya na wengine kutoka Taasisi ya Bima ya Afya ya nchini Gambia walipotembelea taasisi hiyo kwaajili ya kujifunza na kuona uwekezaji uliowekw...