Wataalamu wa JKCI wapigwa msasa matibabu ya moyo
Mfamasia wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sunday Mwera akielezea dawa ambazo wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wa moyo wanapatiwa leo wakati wa mafunzo ya siku moja yanayofanyika kwa wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wenzao kutoka Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia.
Mkurugenzi wa Idara ya Upasuaji wa Moyo wa Taasisi ya Moyo
Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akichangia mada leo wakati wa mafunzo
ya siku moja ya kuwajengea uwezo wataalamu wa JKCI pamoja na wenzao kutoka
Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia.
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ramadhani Hamis akichangia mada leo wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wataalamu wa JKCI pamoja na wenzao kutoka Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia.
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu kutoka
Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia Darren Wolfers
akichangia mada leo wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo
wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na wenzao kutoka
Shirika la Open Heart International (OHI) la nchini Australia.
Picha na: JKCI
*********************************************************************************************************
Comments
Post a Comment