JKCI yatoa huduma za matibabu ya moyo bila malipo Zanzibar



  Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aika Nnkya akimuonyesha mkazi wa Zanzibar kipimo cha kuangalia jinsi moyo wake unavyofanya kazi wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo bila malipo linalofanyika  katika uwanja wa Amaani.

Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dotto Sebastian akimpatia dawa za moyo mkazi wa Zanzibar aliyefika  katika uwanja wa Amaani kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika kikao kazi cha 20 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Itifaki wa Serikali.



Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)