JKCI yatoa huduma za matibabu ya moyo bila malipo Zanzibar



  Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aika Nnkya akimuonyesha mkazi wa Zanzibar kipimo cha kuangalia jinsi moyo wake unavyofanya kazi wakati wa zoezi la upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo bila malipo linalofanyika  katika uwanja wa Amaani.

Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dotto Sebastian akimpatia dawa za moyo mkazi wa Zanzibar aliyefika  katika uwanja wa Amaani kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika kikao kazi cha 20 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Itifaki wa Serikali.



Comments

Popular posts from this blog

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma