Wataalamu wa afya wapata mafunzo ya kuwasaidia wagonjwa wa shambulio la moyo


Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Global Fips Hospital iliyopo nchini Marekani Parag Patel akiwafundisha wataalamu wa afya kutoka hospitali mbalimbali nchini namna ya kutambua na kumsaidia mgonjwa aliyepata shambulio la moyo wakati wa mafunzo ya siku moja yaliyofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) leo jijini Dar es Salaam.

Wataalamu wa magonjwa ya moyo kutoka Hospitali 46 nchini wakisikiliza wakati wa mafunzo ya siku moja ya namna ya kutambua na kumsaidia mgonjwa aliyepata shambulio la moyo yaliyokuwa yakitolewa na Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Global Fips Hospital iliyopo nchini Marekani Parag Patel leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na: JKCI

****************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

Serikali yazindua kitabu safari ya upandikizaji wa moyo Tanzania, JKCI yaweka historia mpya ya huduma za kibobezi

Kutoka miaka 22 hadi kustaafu: Safari ya Lemmah yatoa somo kwa Watumishi wa Umma