Wataalamu wa afya wapata mafunzo ya kuwasaidia wagonjwa wa shambulio la moyo


Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Global Fips Hospital iliyopo nchini Marekani Parag Patel akiwafundisha wataalamu wa afya kutoka hospitali mbalimbali nchini namna ya kutambua na kumsaidia mgonjwa aliyepata shambulio la moyo wakati wa mafunzo ya siku moja yaliyofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) leo jijini Dar es Salaam.

Wataalamu wa magonjwa ya moyo kutoka Hospitali 46 nchini wakisikiliza wakati wa mafunzo ya siku moja ya namna ya kutambua na kumsaidia mgonjwa aliyepata shambulio la moyo yaliyokuwa yakitolewa na Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Global Fips Hospital iliyopo nchini Marekani Parag Patel leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam.

Picha na: JKCI

****************************************************************************************************

 

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo