Wataalamu kutoka nchi 25 washiriki mkutano wa magonjwa ya moyo nchini

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akifanya kikao na viongozi kutoka Hospitali za moyo za nchini Zambia, Rwanda, Uganda pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Save a Child’s Heart la nchini Israel Simon Fisher wakati wa mkutano wa tatu wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika katika hoteli ya Sea Clif iliyopo mjini Zanzibar


Meneja wa kampuni ya usambazaji dawa za binadamu ya Sun Pharma Tanzania Abhishek Gahlot akimuelezea bidhaa zinazopatika katika kampuni hiyo Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Moyo ya nchini Zambia Chabwela Shumba alipotembelea banda la kampuni hiyo wakati wa mkutano wa tatu wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika katika hoteli ya Sea Clif iliyopo mjini Zanzibar

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Global Fips Hospital iliyopo nchini Marekani Parag Patel akiwafundisha wataalamu wa magonjwa ya moyo kutoka nchi mbalimbali namna ya kugundua magonjwa mbalimbali ya moyo wakati wa mkutano wa tatu wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika katika hoteli ya Sea Clif iliyopo mjini Zanzibar 

Wataalamu wa magonjwa ya moyo kutoka nchi mbalimbali duniani wakifuatilia mada zinazotolewa katika mkutano wa tatu wa kimataifa wa magonjwa ya moyo unaofanyika katika hoteli ya Sea Clif iliyopo mjini Zanzibar

Picha na: JKCI

***********************************************************************************************















 









Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Maabara ya JKCI yapata ithibati ya kimataifa (ISO 15189:2012)