Viongozi watembelea banda la JKCI maonesho ya Osha
Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Hospitali ya Dar Group Fatma Joseph akimpima shinikizo la damu (BP) na kiwango
cha oksijeni mwilini Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira
na wenye Ulemavu Zuhura Yunus aliyetembelea banda la taasisi hiyo wakati wa maonesho
ya Kimataifa ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali Pa kazi yanayofanyika katika
viwanja vya Mandewa mkoani Singida.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Dkt. Edith Rwiza
akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI) kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika maonesho
ya Kimataifa ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali Pa kazi yanayofanyika katika
viwanja vya Mandewa mkoani Singida.
Picha na: Jeremiah Ombelo
*************************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment