Watoto 22 wafanyiwa upasuaji wa moyo ndani ya siku sita
.jpg)
Wataalam wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel wakifanya upasuaji wa bila kufunua kifua kwa kutumia mtambo wa Cathlab kuziba tundu la moyo wa mtoto katika kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku sita iliyomalizika hivi karibuni katika Taasisi hiyo ambapo jumla ya watoto 22 walifanyiwa upasuaji. Wataalam wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel wakiangalia tundu la moyo wa mtoto kama limeziba vizuri kwa kutumia mashine ya ECHO wakati wa kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku sita iliyomalizika hivi karibu jijini Dar es Salaam. Na: JKCI ************************************************************************************************************************* Watoto 22 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo ambayo ni matundu na ...