Wanachama wa kikundi cha Women Supporting Women watoa msaada kwa watoto
Wanachama wa kikundi cha kusaidiana kiuchumi cha Women
Supporting Women wakimkabidhi zawadi mama ambaye mtoto wake amelazwa katika
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu ya moyo Yusra
Kanyerere wakati wanachama wa kikundi hicho walipowatembelea watoto hao na
kuwapa zawadi
Wanachama
wa kikundi cha kusaidiana kiuchumi cha Women Supporting Women wakimkabidhi zawadi
mama ambaye mtoto wake amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa
ajili ya matibabu ya moyo Dinna Mrindi wakati wanachama wa kikundi hicho
walipowatembelea watoto hao na kuwapa zawadi
Mwenyekiti wa kikundi cha kusaidiana kiuchumi cha Women
Supporting Women Ena Mwangama akimkabidhi simamizi wa wodi ya watoto wenye
magonjwa ya moyo Grace Sanga zawadi zilizotolewa na wanakikundi hao kwa ajili
ya watoto wenye magonjwa ya moyo waliolazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI)
Mwananchama wa Kikundi cha kusaidiana kiuchumi cha Women
Supporting Women Jacqueline Nshunju akimpatia zawadi mama ambaye mtoto wake
amelazwa katika wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo wakati wanakikundi wa
chama hicho walipowatembelea watoto hao kwa ajili ya kuwapatia zawadi
Picha na: Khamis Mussa
**********************************************************************************
Comments
Post a Comment