Mtoto mchanga afanyiwa upasuaji wa moyo JKCI

 

Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto  kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini Ujerumani Benjamin  Bierbach wakimfanyia upasuaji wa kufungua kifua mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja na wiki tatu ambaye amezaliwa na shida ya valvu moja ya moyo haijafunguka na chumba kimoja cha moyo hakijajitengeneza (hakikuumbika vizuri). Upasuaji huo umefanyika katika kambi maalum ya siku tano ya upasuaji wa moyo ambapo watoto 20 wanatarajiwa kutibiwa.

Picha na Khamisi Mussa

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo