Mtoto mchanga afanyiwa upasuaji wa moyo JKCI

 

Wataalamu wa upasuaji wa moyo kwa watoto  kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini Ujerumani Benjamin  Bierbach wakimfanyia upasuaji wa kufungua kifua mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja na wiki tatu ambaye amezaliwa na shida ya valvu moja ya moyo haijafunguka na chumba kimoja cha moyo hakijajitengeneza (hakikuumbika vizuri). Upasuaji huo umefanyika katika kambi maalum ya siku tano ya upasuaji wa moyo ambapo watoto 20 wanatarajiwa kutibiwa.

Picha na Khamisi Mussa

Comments

Popular posts from this blog

Wataalamu wa JKCI kufanya upasuaji wa moyo nchini Zambia

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yamshukuru Rais Dkt.Samia kwa kuwapa magari