Posts

Showing posts from 2025

JKCI yaihamasisha jamii kupata chanjo ya homa ya ini

Image
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Florah Kasembe akitoa elimu kuhusu namna ya kujikinga na magonjwa ya moyo kwa wananchi waliotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA). Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Agnes Kajangwa akimpima wingi wa sukari kwenye damu mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mhasibu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) DianaRose Kaugila akizungumza na mwananchi aliyefika katika banda la Taasisi hiyo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mtunza kumbukumbu za Afya ambaye pia ni mjumbe wa kamati ...

JKCI kuwajengea uwezo wataalamu wa Hospitali ya Benjamini Mkapa

Image
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) Prof. Abel Makubi wakisaini    makubaliano ya ushirikiano wa matibabu ya ubingwa bobezi wa magonjwa ya moyo kwa kutumia uwezo wa wataalamu wa ndani ya nchi. Makubaliano hayo yalisainiwa jana katika Hospitali ya Benjamini Mkapa iliyopo jijini Dodoma.  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ripoti ya kambi maalumu ya matibabu iliyofanyika Visiwani Comoro na wataalamu kutoka JKCI, Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) na Taasisi ya Saratani Ocean Road.  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) Prof. Abel Makubi wakikabidhiana hati ya   makubaliano ya...

Wananchi wahimizwa kuchangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya mo

Image
Mjumbe wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Heart Team Africa Foundation (HTAF) Irene Mbonde akiwakabidhi bidhaa zinazouzwa na Taasisi hiyo wadau waliochangia matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Na: JKCI ******************************************************************************************************** Wananchi wamehimizwa kujitokeza kuchangia gharama za matibabu ya watoto wenye magonjwa ya moyo wanaotibiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Rai hiyo imetolewa leo na mjumbe wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Heart Team Africa Foundation (HTAF) Irene Mbonde wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa. Irene alisema Taasisi hiyo ni mara yake ya kwanza kushiriki katika maonesho ya Sabasaba wakiwa na lengo la kuitambulisha taasisi hiyo katika jamii pamoja na ...

JKCI na Appolo Hospital kushirikiana matibabu ya moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Apollo iliyopo nchini India walipotembelea Taasisi hiyo tawi la Oysterbay jana jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Apollo iliyopo nchini India Mrithyunjaya Kalmath akijadiliana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge alipotembelea Taasisi hiyo tawi la Oysterbay jana jijini Dar es Salaam  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpatia zawadi daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Appolo iliyopo nchini India Ashwani Singh wakati wataalamu kutoka Hospitali ya Appolo walipotembelea taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Appolo ili...

JKCI yatibu wagonjwa 2700 Visiwani Comoro

Image
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema zaidi ya wagonjwa 2700 wametibiwa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika kambi maalumu ya matibabu iliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana katika Kisiwa cha Ngazija Visiwani Comoro. Mhe. Rais Dkt. Samia ameyasema hayo leo wakati akiwahutubia wananchi wa Visiwa hivyo katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Umoja wa Visiwa vya Comoro. Mhe.Rais Dkt. Samia amesema kwa mwaka wa 2024/2025 wagonjwa zaidi ya 12,000 kutoka Visiwani Comoro walipata huduma mbalimbali za matibabu ya kibingwa nchini Tanzania. “Kwa mwaka huu wa 2025 kambi maalumu ya tiba ya magonjwa mbalimbali   itafanywa na wataalamu kutoka nchini Tanzania katika Kisiwani cha Anjouan, uhusiano uliopo katika sekta ya afya ni wa kuuangalia sana na kuufanyia kazi kwa pamoja”, alisema Mhe.Rais Dkt. Samia.  

Dkt. Kisenge: Jitokezeni kupima moyo maonesho ya SABASABA

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpatia zawadi mwandishi wa TBC aliyetembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya kilwa.  Mteknolojia wa maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Jordan Megabe akimchukuwa kipimo cha damu mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo kwaajili ya kumfanyia vipimo vya kuchunguza figo, ini na kiwango cha mafuta mwilini wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya kilwa. Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Serikalini wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Anna Nkinda akimpatia zawadi mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu N...

JKCI yatoa elimu ya lishe kwa kutumia pyramid ya vyakula halisi

Image
Afisa Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Husna Faraji akiwafundisha watoto waliotembelea banda la Taasisi hiyo makundi ya vyakula na aina ya vyakula hivyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Afisa Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Makrina Komba akimpima mzunguko wa tumbo mwananchi alifika katika banda la Taasisi hiyo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Afisa Uuguzi kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group France Kapele akiwafundisha wanafunzi kutoka shule ya Maximilian namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa wa dharura walipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimatai...

Wanaume wajitokeza kwa wingi kupima moyo Sabasaba

Image
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Victoria Ngalomba akimpima wingi wa sukari kwenye damu mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo lililopo katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Daktari wa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ahmed Mchina akisikiliza mapigo ya moyo ya mtoto aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerete barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. ********************************************************************************************************************************************************************************************** Watu 755 wamepata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam...

Mafunzo ya utoaji wa huduma za dharura yatolewa katika maonesho ya Sabasaba

Image

Tembelea banda la JKCI katika maonesho ya Sabasaba upate huduma za uchu...

Image

Global Fund watembelea JKCI kuangalia mtambo wa Oksijeni

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na viongozi kutoka Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Ukimwi, Kifua kikuu na Ukoma (Global Fund) walipotembelea Taasisi hiyo jana kwaajili ya kuangalia mtambo wa Oksijeni uliosimikwa katika Taasisi hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam. Mhandisi wa vifaa tiba kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya kikwete (JKCI) Eng. Abela Rweguza akiwaelezea viongozi kutoka Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Ukimwi, Kifua kikuu na Ukoma (Global Fund) namna ambavyo JKCI imefaidika na mtambo wa Oksijeni uliosimikwa JKCI wakati wa ziara yao jana kuangalia namna unavyofanya kazi. Msimamizi wa chumba cha uangalizi maalumu cha watoto wenye magonjwa ya moyo (ICU) Mohamed Wamara akiwaelezea namna oksijeni inavyowafikia watoto waliolazwa ICU viongozi kutoka Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Ukimwi, Kifua kikuu na Ukoma (Global Fund) walipotembelea Taasisi hiyo jana kuangalia namna mtambo wa Oksijeni uliosimikwa JKCI unavyofanya kazi. Mhandisi ...

Jaji Mstaafu afurahia huduma za upimaji na matibabu ya moyo aliyoipata k...

Image

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima moyo Dodoma

Image

JKCI yatoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika maonesho ya sa...

Image

Huduma ya upimaji na matibabu ya moyo yatolewa katika wiki ya Utumishi w...

Image

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima moyo Dodoma

Image

Watu 537 wapimwa moyo Arusha kambi ya madaktari bingwa wabobezi

Image
  Daktari bingwa wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rose Chengo akimpima mapigo ya moyo mtoto aliyeletwa na mzazi wake kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali iliyomalizika hivi karibuni katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Afisa Muuguzi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Amad Mlilapi akimpima shinikizo la damu mkazi wa Arusha wakati wa kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali iliyomalizika hivi karibuni  katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Bertha Massawe akimsomea majibu ya mfumo wa umeme wa moyo mwananchi aliyefika kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika  kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi  wa magonjwa mbalimbali iliyomalizika hivi karibuni katika  uwanja wa Sheikh Amri Abeid  jijini Arusha. ********************************...

Watu 232 wapimwa moyo banda la JKCI maonesho ya Sabasaba

Image
Daktari wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ahmed Mchina akimfundisha mtoto aliyetembelea banda la Taasisi hiyo namna ya kutoa huduma ya kwanza wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Afisa Uuguzi wa chumba cha upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nyamtacho Senteuh akiwafundisha watoto waliotembelea banda la Taasisi hiyo jinsi moyo unavyofanya kazi wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba).  Mjumbe kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Heat Team Africa Foundation (HTAF) Irene Mbonde akipokea fedha za kuchangia matibabu ya watoto wenye matatizo   ya moyo zilizotolewa na mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). **************************************************************************************************************************************************************************...

JKCI yatoa huduma ya matibabu ya moyo Sabasaba

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiangalia jinsi Daktari kutoka Hospitali ya JKCI Dar Group Samweli Mbilinyi anavyotoa huduma ya dharura kwa wagonjwa alipotembelea banda la Taasisi hiyo leo katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wataalamu wa afya wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alipotembelea banda la Hospitali hiyo leo katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Afisa Uuguzi wa chumba cha uchunguzi na matibabu ya upasuaji mdogo wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Flora Kasembe akiwaonesha wananchi waliotembelea banda la Taasisi hiyo betri la moyo (pacemaker) wanalowekewa wagonjwa ambao mapigo ya mioyo yao iko chini ya asilimia 50 wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Afisa Huduma kwa Wateja wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Anuwarite John akiwa...

Makonda aishukuru JKCI kwa kufanya upimaji wa moyo kwa wakazi wa Arusha

Image
  Daktari Bingwa wa Watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rose Chengo akimweleza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kuhusu watoto wanaotibiwa katika kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda akimsalimia mwananchi aliyefika kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa    kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda akisalimiana na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Mohamed Aloyce anayetoa huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi wa mkoa huo zinazotolewa katika kambi maalum ya madaktari bingwa na wabobezi wa magonjwa mbalimbali inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. K...

Viongozi wa JKCI watakiwa kuulinda utamaduni wao wa kuwahudumia wagonjwa

Image
Viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja jana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Nickson Simon mara baada ya kufungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa jinsi ya kutekeleza majukumu yao ya kazi viongozi wa taasisi hiyo yanayofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo wilayani humo. Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Nickson Simon akifungua jana mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa jinsi ya kutekeleza majukumu yao ya kazi viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yanayofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo wilayani humo. Kulia ni Mkurugenzi wa JKCI Dkt. Peter Kisenge. Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia akizungumza na baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) mara baada ya kumaliza kuwafundisha mada ya utaifa na uzalendo aliyoitoa katika mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa jinsi ya kutekeleza majukumu yao ya kazi yanayofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mw...