Huduma za moyo karibu na wananchi, JKCI Kawe yahudumia zaidi ya wagonjwa 8,000
Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza na wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu ya moyo JKCI tawi la Kawe lililopo jengo la Mkapa Health Plaza barabara ya Tuari wilaya ya Kinondoni wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa kliniki hiyo. Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza na Daktari Bingwa Magonjwa ya Moyo na msimamizi wa JKCI tawi la Kawe Dkt. Johnstone Kayandabila wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa kliniki hiyo iliyopo jengo la Mkapa Health Plaza barabara ya Tuari wilaya ya Kinondoni. Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akikata keki na baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa JKCI tawi la Kawe lililopo jengo la Mkapa...