Posts

Showing posts from 2025

Huduma za moyo karibu na wananchi, JKCI Kawe yahudumia zaidi ya wagonjwa 8,000

Image
Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza na wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu ya moyo JKCI tawi la Kawe lililopo  jengo  la Mkapa Health Plaza  barabara ya Tuari  wilaya ya Kinondoni wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa kliniki hiyo. Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akizungumza na Daktari Bingwa Magonjwa ya Moyo na msimamizi wa JKCI tawi la Kawe Dkt.  Johnstone Kayandabila wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa kliniki hiyo  iliyopo jengo  la Mkapa Health Plaza  barabara ya Tuari wilaya ya Kinondoni. Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akikata keki na baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa JKCI tawi la Kawe lililopo jengo la  Mkapa...

Safari za matibabu zapungua: Kambi maalumu ALMC yawanufaisha wagonjwa wa...

Image

Safari za matibabu zapungua: Kambi maalumu ALMC yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo

Image
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salehe Mwinchete akimuhudumia mwananchi wa Arusha aliyefika kufanyiwa uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa mbalimbali yakiwemo ya moyo inayofanyika Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) iliyopo jijini Arusha. Daktari wa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Winnie Masakuya akimpima mtoto kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi katika kambi maalumu ya siku nane ya upimaji na matibabu ya magonjwa mbalimbali yakiwemo ya moyo inayofanyika Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC). Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Mmari akimpima mapigo ya moyo    mkazi wa Arusha aliyefika    Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa katika kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa mkoa wa Arusha na mikoa ya jirani. Wakazi wa jiji la Arusha ...

Huduma bora zazaa matunda: JKCI tawi la Oysterbay laongeza wagonjwa na kupunguza foleni Dar es Salaam

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge  akikata keki na baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa JKCI tawi la Oyster bay  lililolopo katika jengo la Oyster plaza  barabara ya Ali Bin Said   jijini Dar es Salaam.    Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akitoa zawadi kwa mgonjwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Louis Manzombi anayetibiwa katika taasisi hiyo tawi la Oyster bay lililolopo katika jengo la Oyster plaza  barabara ya Ali Bin Said   jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa tawi hilo.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na waandishi wa habari juu ya uboreshaji wa huduma za matibabu ya moyo wakati wa  maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa JKCI tawi la Oyster bay li...

Stanbic Benki yaokoa maisha: Yaipatia JKCI vifaa tiba vya moyo vya milioni 20

Image
Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akipokea msaada wa vifaa tiba venye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka kwa Meneja Mwandamizi Matawi ya Stanbic Benki Tanzania Edditrice Marco vilivyotolewa na benki hiyo hivi karibuni ambavyo vitatumika kwa wagonjwa wanaotibiwa katika taasisi hiyo.  Mkurugenzi wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Tatizo Waane akitoa neno la shukrani a mara baada ya kupokea vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka Benki ya Stanbic kwaajili ya wagonjwa wanaotiwa katika taasisi hiyo. ************************************************************************************************************************************************************************************ Benki ya Stanbic Tanzania imekabidhi msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) hatua inayolenga kuimarisha huduma za matibabu kwa wagonjwa wa moyo wan...

Wakati wa sikukuu, Afya isisahaulike: Zifahamu huduma za matibabu zinazo...

Image

JKCI yawashukuru Wafanyakazi: Funzo la ushirikiano na zawadi za mwisho wa mwaka

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Mhasibu wa taasisi hiyo Elizabeth Nchunda zawadi ya mafuta ya kupikia ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa taasisi hiyo. Uongozi wa JKCI umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa   ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Mtunza Kumbukumbu wa taasisi hiyo Yusta Condrad zawadi ya unga wa ngano ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa taasisi hiyo. Uongozi wa JKCI umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa      ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Afisa Muuguzi wa taasisi hiyo Adam Ndamayape zawadi ya sabuni ya kufulia ambayo ni moja ya zawa...

Usalama kwanza uwanjani: Wanamichezo 450 wakaguliwa Afya ya Moyo katika ...

Image

Wanamichezo 450 Wapimwa Afya ya Moyo Katika Mashindano ya Chipukizi Cup Arusha

Image
Wataalamu wa magonjwa ya moyo wa   Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa PE academy ya nchini Zimbabwe wanaoshiriki katika mashindano ya 16 ya Chipukizi Cup yanayofanyika katika viwanja vya Tanganyika Game Trackers (TGT) vilivyopo jijini Arusha. Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Eva Wakuganda akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi mchezaji aliyeshiriki mashindano ya 16 ya Chipukiz Cup  yaliyomalizika hivi karibuni katika viwanja vya Tanganyika Game Trackers (TGT) vilivyopo jijini Arusha. Mtalaamu ya vipimo vya moyo    wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Nelson Kolukwi akimpima kipimo cha kuangalia jinsi mfumo wa umeme wa moyo unavyofanya kazi mchezaji aliyeshiriki mashindano ya16 ya Chipukizi Cup yaliyomalizika hivi karibuni katika viwanja vya Tanganyika Game Trackers (TGT) vilivyopo jijini Arush...

JKCI, MSD kuwafuata wananchi Arusha kupima magonjwa ya moyo

Image
Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Mmari akimfafanulia mwananchi kuhusu magonjwa ya moyo mara baada ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kambi maalumu iliyofanywa na Taasisi hiyo kabla ya kuanza kwa mechi ya mpira wa miguu baina ya mashabiki wa timu za Simba na Yanga jana katika Uwanja wa mpira wa KMC uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. ******************************************************************************************************************************************************************************************************************  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Bohari ya Dawa (MSD)   itafanya kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya magonjwa   mbalimbali yakiwemo ya moyo   kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha na mikoa ya jirani kuanzia Desemba 29, 2025 hadi Januari 5, 2026 , katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC). Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es S...

JKCI na MSD zasogeza huduma za moyo Arusha

Image

Mashabiki 175 wa Simba na Yanga wapimwa afya ya moyo

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge na Mkurugenzi wa Idara ya Magonjwa ya Moyo wa JKCI Dkt. Tatizo Waane wakizungumza na mmoja wa mashabiki wa timu ya Simba wakati wa upimaji wa magonjwa ya moyo uliofanywa na Taasisi hiyo kabla ya mechi ya mpira wa miguu baina ya mashabiki wa timu za Simba na Yanga jana katika Uwanja wa mpira wa KMC uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kupima moyo wakati wa kambi maalumu iliyofanywa na Taasisi hiyo jana kabla ya mechi ya mpira wa miguu kati ya mashabiki wa timu za Simba na Yanga iliyofanyika katika uwanja wa mpira wa KMC uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Mtaalamu wa vipimo vya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Emily Joseph akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi mwananchi aliyefika katika banda la JKCI kabla ya kuanza kwa mechi ya mpira wa mashabiki wa ...

JKCI yatoa wito kwa wanamichezo nchini kupima afya ya moyo mara kwa mara

Image
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Eva Wakuganda akimsomea majibu mchezaji anayeshiriki mashindano ya 16 ya Chipkiz Cup yanayofanyika katika viwanja vya Tanganyika Game Trackers (TGT) vilivyopo jijini Arusha. Afisa muuguzi msaidizi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Mumtaaz Farid akimpima urefu mwanamichezo wa Future Stars Academy anayeshiriki mashindano ya 16 ya Chipkiz Cup yanayofanyika katika viwanja vya Tanganyika Game Trackers (TGT) vilivyopo jijini Arusha. Wachezaji wa Singida Green Sports Academy kwenye picha ya baada ya kupata elimu ya kujikinga na magonjwa ya moyo wakati wa mashindano ya 16 ya Chipkiz Cup yanayofanyika katika viwanja vya Tanganyika Game Trackers (TGT) vilivyopo jijini Arusha. ******************************************************************************************************************* Takwimu za shirika la National Collegiate Athletic Association (NCAA) za mwaka 2...

Furaha ya watani wa jadi, uhakika wa Afya: Mashabiki wa Simba na Yanga kupimwa moyo bure

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na mashabiki wa timu za mpira wa miguu za Simba na Yanga kuhusu upimaji utakaofanyika kwa mashabiki hao wakati wa mechi itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 21 Disemba 2025 katika Uwanja wa Mpira wa Miguu wa KMC uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Msemaji wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Young Africans (Yanga) Ally Kamwe akiwahamasisha mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kufanya uchunguzi wa afya utakaofanywa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa mechi ya Simba na Yanga siku ya jumapili tarehe 21 Disemba 2025 katika Uwanja wa Mpira wa Miguu wa KMC uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Msemaji wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Simba Sports Club Ahmed Ally akitoa neno la shukrani kwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa mashabiki wa timu za Simba na Yanga wakati wa mechi itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 21 Disemba 2025 katika Uwa...