JKCI yawashukuru Wafanyakazi: Funzo la ushirikiano na zawadi za mwisho wa mwaka

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Mhasibu wa taasisi hiyo Elizabeth Nchunda zawadi ya mafuta ya kupikia ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa taasisi hiyo. Uongozi wa JKCI umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa   ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Mtunza Kumbukumbu wa taasisi hiyo Yusta Condrad zawadi ya unga wa ngano ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa taasisi hiyo. Uongozi wa JKCI umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa   ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi Afisa Muuguzi wa taasisi hiyo Adam Ndamayape zawadi ya sabuni ya kufulia ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa taasisi hiyo. Uongozi wa JKCI umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa   ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi daktari wa taasisi hiyo Kawajika Mwinyipembe zawadi ya mchele ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa taasisi hiyo. Uongozi wa JKCI umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa   ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi daktari bingwa wa usingizi na wagonjwa mahututi wa taasisi hiyo Nai Kipuyo zawadi ya sukari ambayo ni moja ya zawadi za kumaliza mwaka 2025 zilizotolewa kwa wafanyazi wa JKCI. Uongozi wa taasisi hiyo umewapa wafanyakazi wake zawadi za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, unga wa   ngano na ndoo ya sabuni ya kufulia.

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo