JKCI yaendeleza diplomasia ya Afya kupitia ushirikiano na Ubalozi wa China

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya shukrani Mkuu wa Uchumi na Biashara wa Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun kwa kutambua ushirikiano kati ya JKCI na Serikali ya China katika utoaji wa huduma za matibabu ya moyo na mafunzo kwa wataalamu wa afya nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Mkuu wa Uchumi na Biashara wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Chu Kun mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa raia wa China wanaoishi Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Msaidizi wa Mkuu wa Uchumi na Biashara wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Zhou Zihan  baada ya kumalizika kwa mazungumzo yaliyolenga kuendeleza ushirikiano wa huduma za matibabu ya moyo kwa raia wan chi hiyo wanaoishi Tanzania.



Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Uchumi na Biashara wa Ubalozi wa China nchini Tanzania  Chu Kun  mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo ya ushirikiano wa  kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa raia wa nchi hiyo wanaoishi Tanzania.

Picha na JKCI

*****************************************************************************************

Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo