Mkurungenzi Mtendaji MNH akabidhi ofisi yake ya awali ya JKCI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akikabidhi ofisi kwa Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt. Delilah alikuwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa JKCI.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt. Delilah alikuwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa JKCI.

Picha na: JKCI

********************************************************************************************************************


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na Burkina Faso zasaini makubaliano ya ushirikiano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Wanawake waaswa kulinda mioyo yao, kuepuka sukari na chumvi kupita kiasi

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo