Mkurungenzi Mtendaji MNH akabidhi ofisi yake ya awali ya JKCI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akikabidhi ofisi kwa Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt. Delilah alikuwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa JKCI.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi  wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt. Delilah alikuwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa JKCI.

Picha na: JKCI

********************************************************************************************************************


Comments

Popular posts from this blog

JKCI na AICC Hospitali kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo katika kikao kazi cha wenyeviti na watendaji wakuu wa Taasisi za Umma

JKCI yapata tuzo ya taasisi ambayo imetoa mchango wa kipekee kiuchumi na kijamii katika kuleta matokeo makubwa kwa kipindi cha mwaka 2023/2024

Wafanyakazi waliohama JKCI waagwa