Mkurungenzi Mtendaji MNH akabidhi ofisi yake ya awali ya JKCI
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akikabidhi ofisi kwa Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt. Delilah alikuwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa JKCI.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Delilah Kimambo akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt. Delilah alikuwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa JKCI.
Picha na: JKCI
********************************************************************************************************************
Comments
Post a Comment